HUYU NDO ARTIST WA LEO
JINA KAMILI ANAITWA HIJAZ HATIBU JANGALE KABILA NIMRUGULUKUNDI ANALOTOKA NI TNG MANYANG`AU ALIKUWA NA HAYA YAKUSEMA NLIPOKUTANA NAE BOOTH ``jina kamili naitwa Hijaz Hatibu Jangale najulikana kama Ija Muzic nimeanza mziki mwaka 2009 aliyenivutia kimziki ni mjomba yangu anaejulikana kama Maddy P kwa mara ya kwanza nimeingia studio mwaka 2010 changamoto ni nyingi mfano kuna muda unahitajika kwenye intaview radio ata nauli unakuwa huna
cha msingi ni nikuomba sappot kutoka kwa mashabiki.Kuna wasanii kibao ninao wakubali mfano ni G nako,Ben Paul,Ali kiba,Joh Makini kwa Kenya Boby Mapesa.
Huyu jamaa ameweza kutamba na ngoma kama listen aliyofanya na Eddy Nyota pia amefanya ngoma inayokwenda kwa jina la KABINTI KALEKUPAKUA NGOMA YAKE INGIA HAPA
cha msingi ni nikuomba sappot kutoka kwa mashabiki.Kuna wasanii kibao ninao wakubali mfano ni G nako,Ben Paul,Ali kiba,Joh Makini kwa Kenya Boby Mapesa.
Huyu jamaa ameweza kutamba na ngoma kama listen aliyofanya na Eddy Nyota pia amefanya ngoma inayokwenda kwa jina la KABINTI KALEKUPAKUA NGOMA YAKE INGIA HAPA
Comments
Post a Comment