KAMA HUKUFANIKIWA KUTAZAMA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA HUKO MUSOMA TAZAMA HAPA

VIDEO:Taarifa ya Habari Kutoka ITV:Watu 36 wamefariki dunia papohapo na wengine 79 kujerihiwa vibaya katika ajali mbaya ambayo imetokea saa tano JANA asbuhi katika kijiji cha sabasaba nje kidogo ya mji wa musoma wilaya ya butiama mkoani mara kwa kuhusisha mabasi mawili ya abiria na gari dogo aina ya Nissani Tellono yenye namba za usajili T332 AKK.

Comments