Kama uliona hizi picha zilizosambaa ukaamini ni ndoa ya Jaguar. @RealJaguarKenya

Kama uliona hizi picha zilizosambaa ukaamini ni ndoa ya Jaguar. @RealJaguarKenya

Screen Shot 2014-08-25 at 5.33.37 AMJaguar aliandikwa na vyombo kadhaa vya habari Kenya kwamba amekwenda kufunga ndoa ya Mwanamke wa maisha yake nchini Afrika Kusini ambapo picha zilianza kusambaa toka wiki iliyopita.
kwenye exclusive na millardayo.com Jaguar amesema ni kweli wengi walidhani ni ndoa amekwenda kufunga ila ukweli ni kwamba hiyo ni video yake mpya ambayo inatoka Jumatatu ya leo August 25 2014.
Screen Shot 2014-08-25 at 5.32.04 AM
Pulse Magazine Kenya.
Screen Shot 2014-08-25 at 5.33.31 AM
Screen Shot 2014-08-25 at 5.33.19 AMScreen Shot 2014-08-25 at 5.33.12 AMNi halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu na niko tayari kukutumia wakati wowote iwe usiku au mchana iwapo utakua umejiunga na mimi kwa kubonyeza hapa >>> twitter Insta FB

Comments